Monday, January 31, 2011

YESU PEKE YAKE AFRIKA KUSINI

Nchini mwetu Afrika Kusini ni Yesu peke yake (labda pamoja tu na ndugu Zake na wafuwasi) anayeruhusiwa kushughulika na mipango ya taifa hili la kiKrestu.  Wale wanaomwamini Shetani ni lazima kila pengo lizibwe wasije wakapata mwanya nao wakung’aa kama Yesu waMji WaQunu huko Cape Mashariki badala ya Yesu waMji Nazareth.


Nipe muda basi nifafanue zaidi kabla ya mwisho ya wiki hii, lakini ukitaka kusoma maoni yangu kwa lugha ya Kiingereza, bonyeza hapa. Nawale pia wanaojiamini katika lugha ya Kienjeji tena yapili Bararani Afrika (Kizulu) wanaweza kubonyeza hapa

Friday, December 31, 2010

BWANA KIKWETE HONGERA!

OMBI LA MSAADA WA LUGHA YA KISWAHILI


(jamaani nisaidieni ku sahihisha na kulainisha lugha ya Kiswahili na nitafurahi mzalendo yoyote akinitumia "posta" nzima hii na masahihisho yake manyanyaphiri@gmail.com, nayeye akiwa Mtanzania, Mkenya, Mrundi, Mrwanda, Mkongo au nchi yeyote ile inayoongea lugha kubwa na takatifu yaKiswahili)


KAULI YANGU



Mtu unavyosoma mambo yanaotokea huko Ivory Coast unaanza kweli kushangaa kwamba hata kama kweli Wazungu walituharibu akili sisi Waafrika, kwani kiwango chenyewe je hakina mwisho?

Kwanini huyo Bwana Gbagbo asimwachie mwenzie Ouatarra angalau awamo moja naye atawale?

Hapana! Mzungu wa Ulaya hayupo katika uchu wa madaraka: bali ni mtu binafsi jinsi alivyoharibika tumboni mwa mama yake au kwenye mbegu zile baba yake jinsi alivyochangia kabla ya kuzaliwa kwake, au nisemeje?

NASI HUKU AFRIKA KUSINI TULIKUWA KARIBU SANA KUPATA MZOZO WA AINA HIYO CHINI YA MADARAKA YA BW. THABO MVUYELWA MBEKI. 

Kusema ukweli, naanza kufikiri..... na naomba msamaha kwa wote wanasiasa waliozaliwa 21 May hadi 21 June... nafikiri inahusiana na jinsi Mapacha/Gemini walivyokuwa.  Unaambiwa, hata akiwa mpumbavu, kila mara Pacha anavyotoa kauli utaapa hamna mtu mwenye akili kumshinda yeye: yaani wana kipaji hicho lakini kipaji chenyewe kinagewuka kuwa balaa kwa akina Thabo Mbeki na Laurent Gbago. Vilevile nimeangalia video zake pitia YOUTUBE jinsi anavyo chezacheza ngoma kuwaburudhisha (kuwapumbaza?) wananchi wa Ivory Coast (nilitaka kusema "bwege" lakini sistahili kwani yule ndugu bado ni raisi wa nchi, au raisi-nusu wa nchi mpaka sasa hivi)



 Ni wakati kama huo ambapo mie hukaa na kuthamini vilevile na kushukura Tanzania na watu wake, kwani kulifika wakati ambapo Bw. Julius Kambarage Nyerere mwenyewe alitamkia dunia:"Nang'atuka".

Alikuwa amewiva sana kwa kisiasa nasi Waafrika Kusini (hasaa wanasiaa waliyowahi kupigania uhuru) tulijifunza mengi kwake, chambacho kilitusaidia sana kumtoa madarakani Bw. Mbeki pale alipoaanza kujifanya "president-of-the-republic-of-south-africa-for-life".


Kifupi naandika "posta" yangu ya kwanza kwenye "blog" ya kwanza kwa lugha ya Kiswahili  kukupa wewe Mheshimiwa Raisi WaJamhuri Yamuungano WaTanzinia, Bw. Jakaya Mrsiho Kikwete kuwa kiongozi wa nchi shwari kuliko zote Barani Afrika. Mie binafsi najigamba sana kwa kwelimishwa na WaTanzania (Chuo Cha Waandishi WaHabari Tanzani, Ilala, Dar es-Salaam).

Vilevile najigamba sana kuwa ninao ndugu wa damu kabisa ambao ni Watanzania, Wakenya, Warundi, vilevile na Waganda (sisi ni damu moja tu na Mzungu asije kutubabaisha kwa ukolini-mamboleo).

Ndoto yangu ni kwamba sitakwenda kaburini kabla hatujavunja hii mipaka waliyotengeneza Wakoloni kutugawa angalau toka Afrika Kusini hadi Kenya!







Bwana Kikwete, Mheshimiwa!

Miezi chache iliyopita uliwahi kupata (pitia uBalozi waTanzania Afrika Kusini) jumla ya DVD nane (8) kuhusu mke na watoto wa Mwafrika Kusini waliyo bakizwa na kuterekezwa Tanzania kutokona na ukabila wa hilo kabila-tawala laAfrika Kusini: kabila anakotokea Bw. Nelson Rolihlahla Mandela.

Mimi basi ndie aliendaa na kutuma hizo DVD ambacho zimepokelewa pia na Mfalme Mswati III Nchi Swaziland, Bw. Robert Gabriel Mugabe wa Zimbabwe, Bw. Jacob Gedleyihlekisa Zuma wa Afrika Kusini vilevile na wenginevyo hasa nchini humo.

Barua iliyoambatana na DVD hizo ilikuwa tu ni ombi kwa Raisi Zuma anisaidie kuleta mke na watoto wangu toka Tanzania kwani swala lao ni ukabila-kinaganaga tu kutoka kwandugu zake Bw. Nelson Mandela: hata Tume ya Mapatanisho (Truth and Reconciliation Commission) nchini humo iligundua hivyohivyo ingawaje ilishindwa kusema wahusika (Major General Daniel Mohato Mofokeng na wenginevyo mmoja wao Bw. Benson Mandindi aliyechinjwa hapo baadaye kama kuku barabarani Pretoria kwa makosa mengine yasiyohusiana na Phiri) wapelekwe mahakamani, kwani enzi hizo raisi wa nchi alikuwa huyohuyo Mandela anayejifanya baba wa ANC na Taifa kwa kumwibia mwanzilishi wa chama cha ANC, Bw. Pixley Isaka kaSeme ambaye, inavyoelekea, Bw. Nyerere alikitaja kijiji kimoja kaskazini ya Tanzania kumkumbuka yeye.


Cha kuhuzunisha, Bwana Raisi Watanzania, ni kwamba huyo Raisi wetu Zuma, hadi leo hii, hajafanya lolote kunisaidia mimi Goodman Manyanya Phiri.

Wachambuzi wasema, Bw. Mandela na kabila lake (hasaa huyo Bibi Lindiwe Nonceba Sisulu aliyopewa Wizara ya Ulinzi ambamo mie nafanyia kazi na kuwindwa kwa mashtaka ya uongo kusudi nifukuzwe) walichangia sana kumwepusha Bw. Zuma kwenye hanga la kutoswa jela kwa shtaka la wizi wa hela za serikali.


Kutokana na hayo, wachambuzi wanafafanua zaidi, Zuma anadeni kubwa kwa hao wabaguzi wakikabila kiasi kwamba hayupo tayari kusaidia mtu anayelalamika kwa ukandamizi wa kabila la Bw Mandela , ukandamizi wanaoufanya kwa kusaidiana na Wazungu, hasa Waingereza wa Afrika Kusini wakisaidiana na Waingereza wa Ulaya aliyewaalika Mandela hasa jeshini kuhusika kwa mambo karibu yote!


Kwa kumaliza, ningekuomba sana, Mheshimiwa Bw. Raisi Kikwete, ujipe muda tafadhali wa kwongea naye Raisi wetu Zuma na kumkumbusha kwamba madaraka ya uraisi, kama Bara letu lilivyofunzwa na Tanzania, sisehemu tu ya kujifurahisha kwa mtu binafsi au kujiepusha katika ka mashtaka ya wizi wa hela, bali ni sehemu ya kusaidia wananchi wote bila woga wala upendeleo.  La sivyo Afrika Kusini nayo inaelekea katika lilelile janga ambamo Ivory Coast ilimo.

Hayo yakitokea, basi, kazi zote na jasho lote Wananchi waTanzania waliyotoa kuwasaidia Waafrika-Kusini itakuwa bure tu.


Tusaidie, Bw Kikwete. Wewe ndio nguzo ya Afrika sasa, amini usiamini! HONGERA SANA KWA KUCHAGULIWA TENA KAMA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA!


Nashukuru sana. Na, pia kwa kurudia, kumradhi sana kwa Kiswahili uchwara! (Najifunza bado!)